LOWASA, wanao sema humu Ni porojo waongo wakubwa, mm binafsi Niko kijini bumb uli. cha msingi UKAWA ANDAENI mawakala waaminifu wasionunuliwa. maana JANUARY MAKAMBA atashinda kwa wizi wa kununua mawakala
wadau wakati sasa umefika kujitahidi kupost mbinu mbalimbali za wizi wa kura. humu jf wengi hupita kwa kusoma tu. kama mm. mm Niko kijijin kabisa naombeni mnipe mbinu ili niendeleze harakat za kuzuia for LA mkono.
wadau naomba ushauri maana mm no mchanga kwenye hhii siasa
watanzani wenzangu ama kwel nimekubal ss ni mabingwa wa kusahau. yaan methal zote kitaan za uchafu. wiz, uporaj wa mal ya uma tena dhahir shair. lakn leo "et hausk wanamsingizia" ok, sasa naomba tumuulize wiz ule ulikuwa wa nan? na kwa nn yey alkubal kubeba lawama? na pia anae mficha mwiz na yy...
Ndugu watanzani wenzangu. Mm kwa mara ya kwanza naingia humu kueleza maono yangu kutoka kijijini kuhusiana na hatima ya nchi hii. Hii ni kutokana na utitir wa wanaojiita ccm ama wenye dola kuchua fom et kutaka uraisi. Nilikuwa nikijiuliza sana maswali yafuatayo, 1. Hiv wote waliochukua fom...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.