Ni muda mrefu toka kuundwa kwa UKAWA ambayo siyo chama.... nilipata wakati mgumu sana kujua kama ni chama au ni shirikisho? lakini pia nilipata wakati mgumu baada ya kugundua kuwa hakukuwa na mkataba wowote wa muungano huu bali tu ni makubaliano... Suala lingine ambalo silipatii majibu ni...
Kila mtu ana mtizamo na mawazo yake kwa kadiri ya upeo wake wa kuyaona mambo mbalimbali... yawezekana upeo wako pia ni mdogo kwa mtizamo wako km angeliuona uzi wako... muda wa kuwa bendera fata upepo uishe na baadala yake tuwaze kwanini haya mambo yanatokea baadala ya kukaa na kuwatuhumu...
Napata sheeda kuelewa mpaka sasa sijawahi ona duniani mtu akahama chama usiku afu hajui misingi ya chama na asubuhi asubuhi anaaminiwa kugombea wadhifa mkubwa ndani ya chama? Hii imani imetoka wapi na tangu lini? Watz tufanye tathmini na si ushabiki usiokuwa na tija...
Kuna mambo ya msingi nahitaji kuyafahamu kwenu wachambuzi wa masuala ya siasa... 1. Je, ni vibaya kutofautiana mtizamo na mawazo ndani ya chama chako? Km. ilivyotokea kwa Dr. Nchimbi, Dr. Slaa na sasa Prof. Lipumba 2. Je, ni dhambi kwa mwanachama wa vyama vinavyounda UKAWA kuhama chama?
Binafsi sioni kama mgomo wa madereva ni tatizo.... Tatizo ni kugoma bila kutoa taarifa za mgomo mapema ili wasafiri wajipange mapema hasa wale waendao mikoani.... "Kimsingi wanayo madai ya msingi coz hata kufanya kazi bila mkataba nalo ni tatizo kubwa sana...." binafsi mgomo huu umeniathiri kwa...
Hongera sana Mh. Dr. J. K..... tunayo haki ya kujivunia mafanikio yako kama Rais wa Tanzania na Kiongozi shupavu katika kuimarisha demokrasia nchini... Ikumbukwe pia kuwa tuzo hizi hupewa watu wachache na wenye moyo wa kuziendeleza nchi zao na kuzifikisha katika mafanikio makubwa.... Hakika...
Mkuu naelewa fika kuwa Katiba na Miongozo ya chama ndiyo uhai wa chama lakini wanaoongoza chama ni binadamu... nahisi tatizo si chama tatizo ni Uongozi ndiyo agenda kuu... tukubali kwanza kuwa makosa ya kiutendaji yapo then Uongozi ujisahihishe na kuacha kuishi kwa visasi vya hawa wa Mbowe na...
5.2 Haki za MwanaChama
Kila mwanachama ana haki ya:-
5.2.1 Kuchagua viongozi wa Chama wa ngazi anayohusika kwa mujibu wa katiba.
5.2.2 Kuchaguliwa kuongoza na kuwakilisha Chama katika ngazi yoyote kwa kuzingatia
masharti yaliyowekwa ya sifa za uongozi.
5.2.3 Kushiriki vikao vya Chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.