Recent content by nzala_kv

  1. nzala_kv

    Malipo ya kisasi ni kisu au risasi

    Mkuu halikuwa lengo ila wakati mwingine ili watu wakuelewe ni muhimu kuambatanisha andiko na vionjo vya namna hiyo. Niwie radhi kama imekuwa kero. Ahsante.
  2. nzala_kv

    Tazama list ya wabunge wa Kenya na elimu zao, utaona aibu kuwa Mtanzania

    Elimu ni muhimu sana kwa kiongozi yeyote katika ku-run Taifa mpaka mtaa kwa Dunia ya Sasa. Mambo yameshakuwa overrated sana, kwa hiyo anatakiwa kiongozi ambaye yuko very very updated na Scenes za eneo husika. Tunashuhudia Kuna fursa nyingi huwapita walengwa na hii yote kwa sababu tuna viongozi...
  3. nzala_kv

    Malipo ya kisasi ni kisu au risasi

    Katika maisha haya tunayoyaishi hapa Duniani Kila bin Adam ni Safi kabisa iwapo tungekuwa hatukutani na binadamu wengine. Ila kwa sababu tunakutana Sina budi kusema 'The atmosphere is no longer the same'. Na hii kwa sababu katika kukutana kwetu tunakoseana sana. Na siku zote bin Adam ndiyo...
  4. nzala_kv

    Umeshawahi kufumaniwa Kwa sms,calls za mchepuko wako, na mwennza wako? Je ulimaliza vipi huo msala?

    Kufumaniwa inaweza isiwe shida ila shida itakuja kuonekana pale tu mwenza wako;- na Mimi labda niseme kitu hapa Leo. Katika Dunia ya Sasa watu wengi huingia katika ndoa wakiwa bado hawako tayari kwa maisha ndoa hali ambayo hupelekea kushindwa kuhimili changamoto zilizomo ndani yake. Wanaume...
Back
Top Bottom