Nadhani ni vema wahusika wa mauaji Zanzibar na mauaji ya tanganyika yote yachunguzwe na wahusika wafikishwe mahakamani.
Shahidi namba moja wa mauaji ya Zanzibar awe samia
Apandacho mtu ndicho atakachovuna, serikali ya awamu ya sita itavuna ilichopanda kama ilipanda mema itavuna mema na kama ilipanda mabaya itavuna mabaya.
Ukweli ni kwamba kama ikitokea mkoa mmoja wakaandamana basi maandamano yataripuka nchi nzima. Watu wamejaa hasira mioyoni wanatamani wawepo wa kulianzisha waunge humohumo
Mkuu Genta nilikuwa nakuheshimu sana lakini kwa uzi huu umejishushia heshima yako. Unadhani kwamba ccm mtandao wanafanya hayo wakiwa hawajui wanachofanya? Eti wajitafakari? Kwani wanataka kujitafakari? Alikupa mfano wa chura kiziwi inamaana hukuelewa?
Kama si kauli ya familia ya hayati baba wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.