Esim ni sim inayojengwa au inayowekwa moja kwa moja kwenye simu, tofaut na ile physical sim card tulizozizoea, kupachikwa/ au kuwekwa kwa hii simu inahitaji vitu vikibwa viwili
1) uwe na simu/smartphone ambayo inasupport Esim
2) uwe na QR code ambayo sasa iyo ndio namba yako ya simu, iyo QR...
mkuu ulipigwa changa la macho, hakuna iphone iliyozimwa, sema tu iphone za zaman kama iyo 6 haiwez pandisha ios version, imeishia 12, lakin pia kwa ishu ya kupata data zako, ukilog in icloud acount yako kwenye kifaa kingine, iwe simu, au computer, data zako unazipata..otherwise peleka kwa fund...
mkuu unapesa ya kutosha kwenye acount yako? maana kuna yale makato ya aliekupa iyo kadi, sijajua huwa ni asilimia ngap inategemea na mtandao au bank gan, hii inaweza ikawa sababu mojawapo pia...
kuungaanisha simu yako na esim akuna limit, sema kuwepo hewani ni namba moja tu ya esim ndio inayoweza kua hewan, inakua one physical sim na esim moja ndio zinakua hewan
mkuu tafuta hii inaitwa xiaomi sound outdoor,ina watts sawa na iyo flip 6 watts 30. ukiipata hii utaacha kutumia iyo flip 6, na bei yake ni nusu ya bei uliyonunulia flip 6
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.