hahaha. mkuu wanajeshi wenyewe wanashangaa jinsi waTZ walivyo waoga. hiyo nidhamu unayoisema ipo kwa kina shimbo tu. wale madogo wengine wanaoishi nyumba za kupanga wanasubiri ishu kama ya NMC ikolee na hautaamini utakachokiona.
hakika katika mafanikio ulowahi kuyapata katika himaya yako ni kujenga shule za kata.
zimesaidia sana katika ku-promote uhuru wa fikra wa vijana/watoto wa Kitanzania. vitoto vidogo vimemaliza shule ya msingi juzijuzi tu lakini vina taarifa ya mambo mengi mema na mabaya yanayoendeshwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.