Hawakujua kuwa upinzani ni wananchi waliochangua wabunge wa upinzani, hivyo kununua wabunge wa upinzani ukidhani kuwa unaua upinzani ni biashara kichaa.
Ukitaka kuua upinzani tatua Shida za wananchi ili upinzani ukase hoja
Wenye busara wamsaidie bwana Polepole kutumia hekima Katika matamshi yake. Kasema kwamba watanzania wenye akili timamu anamaanisha kwamba wanaoenda wenye mikutano ya wengine hawana akili timamu? Anajuaje kama wanaokwenda kwenye mikutano ya wapinzani wote watachagua upinzani na siyo Chama chake...
Hilo la faini za polisi barabarani ni shida kubwa. Ukiwa na gari TZ unageuzwa mradi wa kukamuliwa pesa. Polisi wa barabarani ni wengi kuliko polisi wanaolinda raia na Mali zao!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.