Recent content by nyonga nyonga

  1. nyonga nyonga

    Ndoa ya serikali V/s ndoa ya kanisani

    Asante mkuu, nimekupata.
  2. nyonga nyonga

    Ndoa ya serikali V/s ndoa ya kanisani

    kweli ndugu, ni issue ya msingi, najitahidi kua makini na kile kinacho andikwa maana ni msaada kwangu.
  3. nyonga nyonga

    Ndoa ya serikali V/s ndoa ya kanisani

    charminglady , asante kwa mchango wako. Hasa nataka kujua ya Kiserikali ukifunga (sitaki kuuita ya mkataba kwasababu kuna watu wameanza na hiyo hadi umauti ukawatenganisha) unakua mbele za Macho ya Mungu unahesabika kama mzinzi ama? na kama kwa RC nitaruhusiwa hata kukomunika?
  4. nyonga nyonga

    Ndoa ya serikali V/s ndoa ya kanisani

    Kweli hapa ndugu, ngoja tusubiri hekima za wanajamvi.
  5. nyonga nyonga

    Ndoa ya serikali V/s ndoa ya kanisani

    kwaiyo ya serikalini haina baraka?
  6. nyonga nyonga

    Ndoa ya serikali V/s ndoa ya kanisani

    Habari ! Mie ni mkristo, ninataka kufunga ndoa. Ila taratibu za ufungaji wa ndoa zetu ni ndefu. Naomba kuelimishwa ama kujuzwa uhalali wa ndo za kiserikali kuhusiana na imani ya ki kristo. Namaanisha, unapokua umefunga ndoa kanisani, unakua hauzini ila inakua halali kwako kukutana na mkeo au...
  7. nyonga nyonga

    External HDD 500GB inauzwa ( Transcend )

    Dar es salaam. Mabibo
  8. nyonga nyonga

    External HDD 500GB inauzwa ( Transcend )

    EXTERNAL HDD 500GB INAUZWA aina ni transend. Bei ni 75000.
  9. nyonga nyonga

    mtu mwenye virusi vya ukimwi anaruhusiwa kuingia UK ( United Kingdom ) ?

    habari! Wapendwa, naomba mwenye ufahamu juu ya uingiaji wa nchi ya uingeleza ( UK ) kwa shughuli za kimasomo, kama ukiwa ume athirika na virusi vya ukimwi kama unaweza kuruhusiwa kuingia katika nchi yao.
  10. nyonga nyonga

    Nimetokea kumpenda sana huyu dada anaitwa Angelina Jolie.

    Imetokea roho yangu kuvutika sana kwa huyu dada, usiku kucha wakati mwingine hua nakesha namuwaza. Ivi hili ni tatizo la kumpenda huyu mtu linaweza kua limesababishwa na nini ?
  11. nyonga nyonga

    Kwa mtu alie soma Bachelor Degree in Computing, ni Course ipi ya Master inaweza kumfaa.

    je? computer archtecture anaweza fanya pia. na kati ya hizo ulizo nitajia ipi ni markatable duniani, wakati wote na hai chuji. pia ni chuo gani kizuri kwa hapa africa ni kizuri kwa masters za computer coure.
  12. nyonga nyonga

    Kwa mtu alie soma Bachelor Degree in Computing, ni Course ipi ya Master inaweza kumfaa.

    computing ina inlude vyote ulivyo taja ikiweno na software eng n.k Computing ina include vyote hivyo ulivyo vitaja, ikiwemo software eng N.k
  13. nyonga nyonga

    Kwa mtu alie soma Bachelor Degree in Computing, ni Course ipi ya Master inaweza kumfaa.

    Computing in include vyote hivyo ulivyo vitaja, ikiwemo software eng N.k
  14. nyonga nyonga

    Kwa mtu alie soma Bachelor Degree in Computing, ni Course ipi ya Master inaweza kumfaa.

    Habari wana JF! Naombeni ushauri wenu. Kwa mtu aliesoma Bachelor Degree in Computing, ni course ipi ya Master inaweza kua bora zaidi kwake na ikaendana vizuri na degree yake ya kwanza. Asante.
Back
Top Bottom