Watanzania tusihadaike hatuna tatizo kubwa la kimfumo,tuna tatizo la ufisadi,kukosekana kwa uwajibikaji na utashi wa kiongozi mkuu,hivyo tunahitaji kiongozi anayechukia ufisadi na mwenye kuwakemea watu wakaufyata,aidha lazima awe mchapakazi,mfuatiliaji na mwadilifu hivyo tuache mihemko