Mkuu sio kwamba kuna mazuri hakufanya yeye anaendeleza ya wenzake waliopita ila namsifu kuondoa makatazo ya Magufuli kuhusu wanafunzi kupata mimba , hilo namsifu sana.
Nilikuwa naangalia kikao cha Trump live akiwa White house kupitia Aljazeera, Trump alikuwa na makamu, waziri wa mambo za nje, waziri wa nishati pia aliwaalika wakuu wa makampuni makubwa ya mafuta.
Alisema Venezuera sasa ni mshirika na jana mapipa ya mafuta yalisafirishwa Marekani. Wakuu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.