Recent content by Nyengo3

  1. Nyengo3

    JamiiForums Tanzania Kuna jamaa kaibiwa simu Kariakoo halafu kwenye laini yake ya Yas mixx kulikuwa na milioni 5, wameiba zote

    Hela haipotei kamwe mkuu. Jamaa kashajibu kwamba ilitolewa saa tisa alasiri, hivyo inaonekana alichelewa kupiga simu Yas wafunge laini.
  2. Nyengo3

    JamiiForums Tanzania Kuna jamaa kaibiwa simu Kariakoo halafu kwenye laini yake ya Yas mixx kulikuwa na milioni 5, wameiba zote

    Kama laini aliifunga basi haiwezekani muamala wowote kufanyika. Na baada ya ku'renew Sim card kuna muda wa kusubiri ili fedha zirudi kwenye A/c mpya ya Mixx by Yas nadhani saa 24. Pia, kwa kuwa aliripoti wizi na kiwango hicho cha fedha huwenda kukawa na mchakato mrefu kidogo kabla ya hizo fedha...
  3. Nyengo3

    JamiiForums Tanzania Waziri Ndejembi awasili mkoani Shinyanga kwa ziara ya kikazi

    Aise, kwamba Waziri wa Ardhi anafanya ziara ya kikazi mkoani Shinyanga ambapo atakagua miradi ya maendeleo?
  4. Nyengo3

    JamiiForums Tanzania JF members waliopotea siku nyingi jukwaani

    Hapo sawa mkuu ni kula nao sahani moja mpaka 25.
  5. Nyengo3

    JamiiForums Tanzania JF members waliopotea siku nyingi jukwaani

    Kabisa, ukimya wao umekuwa mrefu sana.
  6. Nyengo3

    JamiiForums Tanzania JF members waliopotea siku nyingi jukwaani

    Mbimbinho Agogwe mbalaka Kibanga Ampiga Mkoloni Behaviourist mkaruka ataja rinu
  7. Nyengo3

    JamiiForums Tanzania Nayo ni hisani ya Rais Samia?

    Katiba mpya ni 'dhima mpya ya kifikra' (general mentality of the people). Tatizo lilipo, ni kwamba sisi Watanzania tulio wengi tunadhani katiba mpya ni kitabu kipya cha sheria, a new printed book composed of set of rules. Ndio maana hatujui nani anatakiwa kukileta hicho kitabu, safari ni ndefu mnoo.
  8. Nyengo3

    JamiiForums Tanzania Mlioko kwenye nafasi za Kiutendaji serikalini tusaidieni kuitangaza CCM kwa Kuchapa kazi, 2025 Siyo mbali!

    Kuna nini huko kwenye mfumo hadi uchaguzi wa 2025 uwe halisi?
  9. Nyengo3

    JamiiForums Tanzania Mtanzania, kiumbe anayefanana na binadamu, ameendelea kubakia hivyo hivyo mpaka leo

    Ujinga wa Mwafrika ni wa asili, hivyo ni ngumu sana kuufuta kwa elimu ya darasani pekee. Mwenye akili siku zote anapambana kuiona kesho ilihali mjinga anapambana kuijenga leo tamu.
  10. Nyengo3

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Watanzania ni Wavivu na Waoga. Wanataka kila kitu afanye Tundu Lissu au Mbowe, hatutafika kwa utaratibu huu!

    "Uhuru mkubwa" hautoshi, inatakiwa uhuru kamili. Ndiyo itavunjwa tunajua, ila uwajibikaji utakuwepo kwani mahakama itakuwa na mamlaka ya kulinda na kusimamia misingi ya sheria mama, na sheria nyingine ndani na nje ya nchi. Tofauti ya Africa na huko kwingine kunatengenezwa na aina ya sheria za...
  11. Nyengo3

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Watanzania ni Wavivu na Waoga. Wanataka kila kitu afanye Tundu Lissu au Mbowe, hatutafika kwa utaratibu huu!

    Watakuwepo, na ndio maana tunadai iwepo katiba ambayo itatoa uhuru kamili wa mfumo wa utoaji haki. Ili kuwadhibiti watu wa namna hiyo kupitia fair orders za mahakama. Technically inaruhusu. kwa sababu kinachotakiwa, na kinachoweza kulinda raia na mali zao ni Sheria tuu na sio jeshi la polisi...
  12. Nyengo3

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Watanzania ni Wavivu na Waoga. Wanataka kila kitu afanye Tundu Lissu au Mbowe, hatutafika kwa utaratibu huu!

    Impunity, kitendo cha mfumo mzima wa utoaji haki (judicial system) kutokuwa huru kina athari za moja kwa moja mpaka kwa raia. Kwa mfano, hivi kama mahakama zingekuwa huru kuna polisi angebambikia mtu kesi? Kina Sabaya wangechukua mali za watu kibabe?
  13. Nyengo3

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Watanzania ni Wavivu na Waoga. Wanataka kila kitu afanye Tundu Lissu au Mbowe, hatutafika kwa utaratibu huu!

    Hii katiba ya 77 ya Nyerere na genge lake haifai kabisa.
Back
Top Bottom