Recent content by nyengella

  1. nyengella

    Tulia Akson sio Kiongozi wa CHADEMA na Wala Sio Mahakama: Afuate Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

    Suala hili linahitaji akili ya kawaida sana na inashangaza kwa mtu Tulia, kama PhD yake ya sheria ni ya kweli, jamii ya kawaida inashindwa kuelewa logic aliyotumia huyu mama; Tulia. Hii inatokana na ukweli kuwa mtu akifukuzwa kazi mahali, na huyu mtumishi asiporidhika na taratibu zilizotumika...
  2. nyengella

    Majina 19 yanayotajwa kuwarithi Halima Mdee na wenzake bungeni

    Sijaliona jina la Lucia M. Mlowe aliyekuwa mbunge wa viti maalum 2015-2020, na aligombea jimbo la Njombe 2020 kupitia CDME
  3. nyengella

    Rais unakaa nchi ya watu wiki na kundi la msafara, hii ni aibu sana

    Uone msafara wake ulioko huko ughaibuni ni kufuru
  4. nyengella

    Wizara ya Madini imesema inafuatilia jiwe la bilioni 240 linalopigwa mnada Dubai, yasema ilipata taarifa mtandaoni

    Ndio matokeo ya uongozi mzima wa kitaifa kule Divai? Tulishaonya hapa kwamba chekeni na waarabu, mtaona. Kuwekwa picha ya Mh wetu No1 pale Dubai tukasema tutayaona mbeleni. Leo hata miezi miwili- mitatu haijapita, tunasikia madini ya thamani yanauzwa kule bila mwenye shamba kujua. Integrity yetu...
  5. nyengella

    Askofu Niwemugizi: Ripoti ya CAG imedhihirisha uongo wa watawala

    Kama tunataka kuwa wa kweli, basi lazima tuseme ukweli. RAIS ALIYEKO MADARAKANI PAMOJA NA MAKAMU WA RAIS HAWANA BUDI WAJIUZURU, kwani haya Madudu yanayoripotiwa na CAG walikuwa sehemu ya JPM. Watu wanapepesa macho sana namna ya kuwafanya watawala wetu wawajibike kwa makosa yao. Hali ilivyo sasa...
  6. nyengella

    UTEUZI: Sophia Simba ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii

    Kama taifa lazima kuwe na succession from generation to another. Unapowarudisha watu kama kina Sophia simba, basi aidha taifa haliwapiki vijana wa kuchukua madaraka/nafasi au unapata dhana kwamba vyeo ni vya kupeana. Watu kama kina Kinana baada ya kulitumikia taifa mrefu na kustaafu, iliwapata...
  7. nyengella

    Paul Makonda: Kuna makundi matano yanataka kuniua, likiwemo wanaotafuta kulipa kisasi kwa Wasaidizi wa Magufuli

    Naomba mwenye ile picha amezungukwa na maafisa wa vikosi vya ulinzi na usalama na akiwa amebebwa na wana FFU atutupie hapa. Nilipokuwa naangalia picha ile nyakati zile zikumtofautisha bashite na Idd Amini Dada. Nilisikitika sana alivyokuwa akisindikizwa na walinzi na kubebwa jujuu na juu na wana...
  8. nyengella

    Rais Samia: Nimeagiza tozo ya mafuta irudishwe, asema nauli na bei za bidhaa vitapanda. Sababu ni vita ya Urusi

    Kusema kwamba kuondoa shs 100/ tayari ilikuwa kwenye budget ya mwaka; kwani ya misaada kama ya TZS 1.3tr zilikuwepo kwenye budget? Wakati fulani ni jukumu la serikali na hata Bunge kuingilia kati hizi tuzo na hasa nyakati kama hizi vita. Kusema kwamba ikitokea vita kati nchi moja na nyingine...
  9. nyengella

    Ufafanuzi mbovu wa Profesa Manyele, NEMC mko wapi? Waziri Jaffo huitendei haki wizara, JIUZULU

    Waziri Jafo ajiuzuru nafasi yake,au mamlaka ya uteuzi imvue pamoja na kuvuliwa PhD yake. Vitu vyote viwili havitendei haki
  10. nyengella

    Serikali: Hatujalipa kuweka tangazo jengo la Burj Khalifa lililopo Dubai

    Kupanga ni kuchagua! Kwa nini isingefanyika juhudi ya hiyo offer ya tangazo ya takribani 2.2Trillion kwa mwezi iende kwenye vipaumbele muhimu vya kitaifa? Ni sawa na kumchukua mtu maskini kabisa, na kumpeleka kwenye hotel ya kitalii, na kumwambia chakula na malazi yako (huyu mtu maskini...
  11. nyengella

    Serikali yasitisha tozo ya Tsh 100 kwa kila lita ya mafuta, yasema itapoteza Sh bilioni 30 kwa mwezi

    Serikali imechelewa kuzifuta tozo mbalimbali ilizojiwekea kwani ni kikandamizaji dhidi ya wananchi wake na zilipitishwa na bunge bila kuangalia athari kwa jamii.
  12. nyengella

    Rais Samia ndani ya Dubai EXPO 2020 kutangaza fursa za biashara na uwekezaji Tanzania

    Kitendo cha Rais kwenda Dubai kutangaza utalii, bado inaonyesha ni jinsi gani mfumo wa utawala usivyoweza kuaminika mbele ya Rais. Mabalozi na viongozi wengine wako wapi kutumwa kumwakilisha Rais. Period!
Back
Top Bottom