Utaanza na cha kuomba cha kwanza ila kuna option nyingine utaulizwa Kama umeshafanya mtihani zaidi ya Mara moja kisha unakubali kwa kuandika tena namba ya kuresit bila kusahau kuambatanisha vyeti vyote viwili
Omba Mkopo Kama kawaida na kawaida unatumia cha kwanza kwa maana ya namba ya cheti ila kuna sehemu kuna option nyingine unaulizwa Kama umeshawahi fanya mtihani wa form 4 zaidi ya Mara moja kisha kubali na utajaza namba ila usisahau kuambatanisha vyeti vyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.