Recent content by nyelesa

  1. N

    RC Mbeya aagiza Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi kukamatwa na Polisi kufuatia kikao chake na Machinga

    The law does not say OCD rather OCS. Revisit it for understanding
  2. N

    Tujadili na kuchambua Sheria za kodi; VAT na Income Tax

    Kuna mtaalamu mmoja wa Kodi alisema "Tax is not always proportionate rather is progressive" Naomba ufafanuzi mtaalamu huyo alikuwa ana maanisha nini?
  3. N

    Anayehitaji msaada wa mambo ya kodi

    Kuna mtaalamu mmoja wa Kodi alisema "Tax is not always proportionate rather is progressive" Naomba ufafanuzi mtaalamu huyo alikuwa ana maanisha nini?
  4. N

    Wahalifu wa Kivita(Genocide and Crimes against humanity) kushitakiwa popote

    Nashukuru kwa kufafanua but you misconstrued my point ambapo from the very beginning nimesema ICJ ambayo iko the Hague,Uholanzi.Shauri nililokuwa nazungumzia ni Serbia v Croatia ambazo awali zilikuwa chini ya Yugoslavia, kwa sasa ni nchi huru.Nchi hizi zilifungua kesi hapo ICJ ili kupata...
  5. N

    Land Acquisition Act-Act No.47/1967

    Samahani pengine labda nimekuelewa vibaya,unasema sheria hii ya Land Acquisition imekuwa repealed and replaced by Land Act and Village Land Act,1999? Je unaweza ukawa specific vifungu vipi vinazungumzia Land acquisition by public purpose katika sheria hizo ulizosema?
  6. N

    Land Acquisition Act-Act No.47/1967

    Waheshimiwa salaam Naomba kujua iwapo kifungu cha 5(2) cha sheria hii kama kimefanyiwa marekebisho yoyote na lini?Kwa ufupi kifungu hicho kinasomeka hivi Kama kifungu hiki hakijafanyiwa marekebisho ya kisheria,je hapa siyo kuingilia kazi za mhimili mwingine? Je Haki ya msingi ya mtu mwenye...
  7. N

    Wahalifu wa Kivita(Genocide and Crimes against humanity) kushitakiwa popote

    Makahama ya Kimataifa ya Uholanzi(International Court of Justices-ICJ) katika maamuzi yake jana kwenye kesi ya Serbia v. Croatia imesema "that it was now up to the justice systems in both countries, but also elsewhere, to prosecute those responsible for crimes" Maamuzi hayo ni muafaka na ni...
  8. N

    Marekani yatoa kauli kwa Tanzania kufungiwa Gazeti la The East African

    The Eastafrican litafunguliwa, "lilikuwa na matatizo ya usajili,sasa wameanza maombi....."Habari zaidi soma Gazeti la Mwaananchi
  9. N

    Marekani yatoa kauli kwa Tanzania kufungiwa Gazeti la The East African

    Ukifikiria kwa undani hapa napo kuna hoja nzito!!!!!
  10. N

    Marekani yatoa kauli kwa Tanzania kufungiwa Gazeti la The East African

    Kwani kukosolewa ni kosa?Huoni kwamba tunatambua shida ilipo ili tuweze kutekeleza utawala wa sheria na mwisho demokrasia halisi?
  11. N

    Marekani yatoa kauli kwa Tanzania kufungiwa Gazeti la The East African

    East African Eagle, Umejitahidi kujenga hoja,lakini tumbuke hapa kuna udhaifu ambapo serikali inakiri kwa maneno kwamba gazeti " has been circulating in the country without being properly registered, contrary to section 6 of the Newspaper Act number 3 of 1976." Ni kwa nini halikusajiliwa na...
  12. N

    Marekani yatoa kauli kwa Tanzania kufungiwa Gazeti la The East African

    Je Marekani ina haki kuingilia masuala ya ndani ya nchi?Kam ni hivyo sovereignty iko wapi hapa?
  13. N

    Marekani yatoa kauli kwa Tanzania kufungiwa Gazeti la The East African

    Hoja kuu hapa ni uhuru wa habari ambao upo Kikatiba.Uhuru huu ndio unaokuza demokrasia ndani ya nchi yetu hivyo kuonekana kinara wa utawala sheria kwa kanda ya afrika.
  14. N

    Marekani yatoa kauli kwa Tanzania kufungiwa Gazeti la The East African

    Ikulu ya marekani imesema "A free and open press is essential to the development of democracy and a free and vibrant society," ================== Source:thecitizen
Back
Top Bottom