Habarini za asubuhi members wa jf......napenda kutumia nafasi hii kuwajulisha juu ya apartment zetu zilizo maeneo ya upanga na kariakoo, apartment hizi ni kwaajili yakuuza tu zipo za vyumba 2,3,had 4...kwa yeyote mwenye idea ni vipi naweza pata wateja tafadhali nawaombeni mnijuze Au ambaye...