Recent content by nyarugusu mamboleo

  1. N

    Madiwani Wilayani Mwanga Wagawana Fedha Za Bajeti Ya Barabara

    Kwa ccm sioni ajabu kuiba ni mchezo wao
  2. N

    Sakata la Mbasha: Kanisa la Ufufuo na Uzima Tunasema...

    Kwa hili gwajima hana pakukwepea,bado namsihi ajitahidi kuyamaliza,maana nyuma yake kondoo wana sikia wanaona haipendezi kama mpakwa mafuta akiliabisha kanisa,sisi kondoo tunaumia sana hata kuandika hii ni basi tu kwa ajili ya upendo wa kristo
  3. N

    Sakata la Mbasha: Kanisa la Ufufuo na Uzima Tunasema...

    Mimi naomba kutoa maoni yangu kwa gwajima kama kweli anafanya kazi ya Mungu aliye hai basi achukue maamuzi magumu yakuomba Rehema na kuipatanisha ndoa ya mabasha,pili kama kweli anamlipia flora hotel aache mara moja, utaona kama flora hata rudi kwake.
  4. N

    Sakata la Mbasha: Kanisa la Ufufuo na Uzima Tunasema...

    mwanamke -------- huvunja ndoa yake mwenyewe,na kama flora ameshiriki kumwangusha gwajima ajue yeye flora ndiye atabeba laana hiyo
  5. N

    Sakata la Mbasha: Kanisa la Ufufuo na Uzima Tunasema...

    hizi tabia za kutetea watu sio vizuri maana hakuna malaika hapo kwenye hilo sakata gwajima,mbasha na florah wote ni wanadamu ila chaziada nikuwa wameokoka
  6. N

    Sakata la Mbasha: Kanisa la Ufufuo na Uzima Tunasema...

    Hebu chunguzeni florah ni nani anamlipia hotel?
  7. N

    Sakata la Mbasha: Kanisa la Ufufuo na Uzima Tunasema...

    sio hamnazo kwani kabla ya kuanza kuanza kusali hapo ufufuo ndoa ilikuwa njema sana
  8. N

    Sakata la Mbasha: Kanisa la Ufufuo na Uzima Tunasema...

    Ukichinguza kwa undani gwajima ndio chanzo,sasa tunaelekea wapi?kama wachungaji watakula kondoo na kuvunja ndoa huu ndio mwisho wa dunia
  9. N

    Sakata la Mbasha: Kanisa la Ufufuo na Uzima Tunasema...

    Mimi nasema kanisa la ufufuo lihakikishe linarekebisha ndoa ya mbasha
  10. N

    Zito kuchemsha

    Ushauri wangu kwa zito ajiunge na wanaukombozi UKAWA hapo wananchi kidogo watamwelewa,maana hawana imani naye
  11. N

    Zito kuchemsha

    Wewe unaelekea ni huna uzalendo maana tumechozwa na kuuliwa kwa TEMBO wetu ni lazima tuwagaragaze mafisadi.MWISHO WAO UMEFIKA
  12. N

    Zito kuchemsha

    Yani Ritz kweli unaweza kuitetea ccm?
  13. N

    Zito kuchemsha

    we we ndio hauna jipya ni lazima mabadiliko tumechoka na mafisadi
  14. N

    Nabii asiekubalika nyumbani

    Yani inaonyesha jinsi zito alivyo na uchu wa madaraka,hii kuanzisha chama ni ili awe mwenyekiti,KWISHA HABARI YAKE
  15. N

    Zito kuchemsha

    Jana nimeona jinsi kwenye picha jinsi Arusha walivyo ipokea UKAWA,nasikia ACT wanapita wakiwashaeishi wananchi kutoiunga mkono UKAWA sasa kweli hicho ni chama cha upinzani kweli?? Maana wao wangesema tunaunga mkono moja kwa moja UKAWA wananchi wangeona wanadhamira ya kweli.
Back
Top Bottom