Pole sana kwa kukosa chuo kijana! Ila lazima ujue GPA sio kigezo pekee cha kuchaguliwa udms.
Na pia hiyo GPA yako ni ya chuo gani kusema una GPA ya 3.9 tuu sio kigezo maana pale ud wanatabia ya kustandadize gpa za vyuo vingine so hiyo yako kama ni ya TEKU pengine inaweza kuwa ni 3.2 hivi. Kama...
Mi naona ishu yako sio ngumu sana kama weww na yeye mko poa na mnapendana endelea nae tu hayo ni mambo madogo ongeza watoto atabadili. Hao wazazi wanakushaki tuu waone kama unatikisika. Chamsingi kama we unaona mnawezafaana kwa hali na mnapendana haina shida. Endelea naye ongeza familia baadae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.