Recent content by Nyanidume

  1. Nyanidume

    Mwigulu Nchemba: Hakuna mwananchi atakayelipa mkopo, Serikali italipa

    Samia amesema mikopo italipwa na wananchi. Lamek anasema italipa serikali!
  2. Nyanidume

    Jumanne Muliro aache kupaniki suala la Askofu Mwingira, badala yake asome PGO

    usiruhusu makalio yako yachukue nafasi ya ubongo wako! Jumanne amepewa tu order na mtu wa imani yako ambaye anaitwa George.
  3. Nyanidume

    Mmea huu ni kiboko kwa wote wenye ndonda na bawasili

    Naombeni wakuu mnielekeze kwa hapa Dar, wapi nitaupata huu mmea?
  4. Nyanidume

    Magenge ya utapeli Tanzania: Tupe stori kama umekumbana na kadhia zao

    Matapeli bana, eti anajifanya yeye ni kamishna wa polisi na ana siku chache sana kabla hajastaafu Ila serikali imempa mchongo mwingine wa yeye kuwa mkuu wa usalama katika mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta huko Tanga. So amepewa nafasi mbili za kutafuta madereva! Ili kuipata hiyo nafas akataka...
  5. Nyanidume

    Waendesha bodaboda, tabia hii inakera sana

    Ni kweli kabisa Mkuu sisi ni washamba ila wake na madem zenu wanapenda sana kuleta shobo ili tuwagonge nao, sijui kwanini?!
  6. Nyanidume

    IGP Sirro: Makampuni ya Ulinzi acheni kuajiri Wazee

    Bila shaka itakuwa movie, stering alikuwa Gadaf aliyekuwa rais wa Iraq.
Back
Top Bottom