Matapeli bana, eti anajifanya yeye ni kamishna wa polisi na ana siku chache sana kabla hajastaafu Ila serikali imempa mchongo mwingine wa yeye kuwa mkuu wa usalama katika mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta huko Tanga. So amepewa nafasi mbili za kutafuta madereva! Ili kuipata hiyo nafas akataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.