Kwanini mnashupaza shingo kwa kulazimisha nyeusi ionekane nyuepe? Ukweli ni kwamba Polepole kawapiga kwenye mshono, kubalini tu kwamba hamna uwezo wa kuzijibu hoja zake.
Sasa kuna ubaya Gani kutoka mahubiri ya kisiasa ikiwa Gwajima ni mwanasiasa? Je kuna Sheria inayomzuia kiongozi wa kidini na pia mwanasiasa kuzungumzia habari za siasa? Au anashtakiwa kwa kifungu Gani Cha Sheria?
Hiyo roho mbaya Yako haitakusaidia lolote, Kila mtu ana maamuzi yake katika maisha. Mwanangu nitamuozesha kwa mtu yoyote yule mwenye ufahamu ikiwa tu wamependana wenyewe. Em tuondolee mipasho Yako hapa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.