Mimba ikiwa changa haishauriki sana kwa sababu kuna acid ambayo ipo kwenye nanasi itakwenda kuchochea Hormone ya oxytocin na kuchochea uchungu ikapelekea mimba kutoka. Lakini kuanzia miezi 3 mtoto amekuwa amejishikiza vema kwenye mfuko na isilete madhara.
Kuna form inapatikana online kwenye app ya TMDA au FIKA kwenye kituo cha kutolea huduma wakusaidie kutoa taarifa. Au kwenye simu yako ya mkononi.
Ukiwa na Jina la dawa
Kampuni iliyotengeneza
Batch no
Mfg date
Expire date.
Au Beba kibox cha dawa uende nacho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.