zakwako zenye mvuto na zilizo ndani ya uwezo wako ziko wapi tuzisome? uchambuzi wako wa kisayansi na kisomi uko wapi ndugu nikazisome? labda mwenzetu unauwezo wa kuchanganua mambo na labda makala zako ni more analogy!!! tafadhali naomba nisome makala zako ili niweze kuzilinganisha na za Majjid...
sasa nyinyi watu 4 musipoponda magari yenye bendera za CCM basi kaeni hapo stendi mungojee vibasi vyenye bendera za chadema!!! na sijui ni vingapi!!! na utakuwa mjinga kiasi gani upande basi ambalo litasimamishwa na Trafik uchelewe safari yako?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.