Kwa uzoefu Wang hata katika maisha ya kawaida mtu akikutanyia mabaya kupta kias njia ya kwenda nae sambamba ni kumshambulia kwa maneno na vitisho Kisha mtakaa meza ya mazungumzo na kupata suluhu* naona chadema mfumo huo kw Hali ilvyo hv sasa ndio unafaa wangeenda tofaut na hv ad hapa...
Sasa nikukumbushe kidogo kuhusu wakenya kununua mazao km mahind, ngwara/ fiwi Tz ni msaada mkubwa kwetu, nmefanya biashara na wakenya enz naishi mikoa y kaskazn, watu wetu wanategemea soko Kenya pekee, ilkuwa ikitokea mipaka kufungwa mahind yalshuka had elf 30 kwa gunia la debe 6. Na wale...
Tumia hyo ni nzur kuoteshea lakin ikifka wakat wa kuzalishia usjarbu kutumia wao wanasema ni CAN ila imeandkwa kenycoch km cjakosea hlo ni bomu Haina ubora, mwaka huu kusini tumefchiwa can y falcon imeingzwa hii ni Bora usiweke kabisa.
Habari za majukumu watanzania wenzangu na wadau mbalimbali wa elimu. Mimi ni mwenyeji wa mikoa ya nyanda za juu kusini. Nyanda za juu kusini especially mkoa wa ruvuma na jombe ni Kanda ambayo elimu sio kipaumbele hata ukiangalia hapana chuo kikuu chochote baada ya mwendazake kufungia chuo Cha...
Niko songea mkuu ni mkulima mdogo lakin mashamba nayaelewa yanakopatkana kwa wing unajchagulia Bei ni lak had lak na nusu, ardh inafaa kwa kilimo Cha mpunga, mahnd, soya, karanga, jugu, Nazi, korosho nk! Npgie 0682475620
Nliambiwa na mmoja wa mapolice cku fulan kuwa takukuru Hana mamlaka ya kumkamata police akiwa kazn na haiwez kutokea ndio maana hatujawah kuskia kes y traffic kukamatwa na takukuru,
Mim nko songea sitak mchezo, iko hv ukiamua kulima tenga miaka kumi humo humo lazma ukutane na mwaka wa baraka, mfano nlkuwa naongea na mkulima wa korosho kaniambia mwaka huu wameupiga mwing, ukija upande wa kahawa hvo hvo! Tatzo wabongo tunataka kulima mwaka mmoja uwe tajir mwaka huo huo! Hata...
Huwez kulima mpunga mwez wa 10 uvune mwez wa kwanza never, hata ingekuwa mahind mikoa inayolima mwez wa kumi ni km geita, na kagera mahind yaliyovunwa mapya hayapendw na walaji kwa maana ya unga wake hli hupelekea mahind y zaman kuwa na Bei nzur; nltoa mawazo yang kwa ujumla ili mtu abalance...
Mim pia nalima kwa muda sasa, nkilinganisha maisha yangu kabla sijaanza kulima na ya sasa baada y kuingia shamba ni tofauti mno Tena nalima kilimo Cha mvua. Matajri weng japo sio wote tunaowaona town wamewekeza shambn mfn kusini unakuta mtu ni Don kwel kwel lakin analima mashamba y mahind...
Tatzo la wakulima weng wanataka akivuna auze hapo hapo shambn, lazma uuze kwa hyo Bei unayotaka / 20000/= lakin fatilia mkulima anayeweka mazao yake had mwez wa pili anauza na kupata kipato kikubwa Sana. Tuache mapepe y kulima na kuuza wakat wa mavuno ili Hali mazao yanakuwa meng sokon Bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.