Bahati mbaya sana hakuna utashi wa dhati wa kutatua hili tatizo la Israel na Palestine. Ni suala tu la kuangalia mipaka ya 1948 ilikuwaje, then Israel ina-exist kivyake na Palestine kivyao. Suluhu hapa ni sheria za kimataifa na sio hizi habari za dini zinasemaje.
Ninasoma Kitabu hiki cha Mzee Mohamed Said kuhusu Waislam kutengwa katika Historia rasmi ya wapigania uhuru.
Hapa chini nimeweka nukuu kutoka kitabu cha Maisha ya Abdulwahid Sykes ambacho kinaeleza namna waislam walivyotengwa na historia ya Uhuru. Nukuu hii ikionyesha kuwa Aziz Ally na Kleist...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.