Recent content by Nyamranga

  1. N

    Rwanda, Kenya & Uganda Kujenga Reli ya Mombasa-Kampala-Kigali kwa $13bn/-!

    . Mr Fitinamwiko: you are missing a point. Bunch of crooks will never make an uneconomic decision be economic!! Let them rush thinking they are punishing us! but time will tell.
  2. N

    Dismas Nkunda: Tanzania must learn to be good neighbour - The Observer

    Illegal Immigrant should go they don't need to wait the government to chase them. Mtu kwao bwana!
  3. N

    Zitto Kabwe awasha moto kuhusu mabilioni ya Uswisi, amwandikia barua Katibu wa Bunge

    Mheshimiwa Zitto ni mtu anapendelea kusikika kwenye vyombo vya habari. Sasa asiposikika tu huwa lazima aje na jipya ili aandikwe au aonekane kwenye TV!!
  4. N

    THE Paradox of Rich Poverty: Africa isn't Poor but Poorly Governed

    . Bwana Otieno you can't eliminate CCM nor its ideals. CCM ideals is written in its constitution so how can you eliminate them. After all CCM's ideals are good what we need to do is for us Tanzanians to work hard.
  5. N

    Eti Tuuchukulie Seriously Muungano wa Chadema na Chama cha Maliberali?

    Mie sioni kama hoja yake ni ya kipuuzi. Mbona huwa kuna marriage of convenience. Watu wanakubaliana kuwa pamoja kwa ajili ya suala Fulani na suala hilo likiisha makubaliano yanakufa. Kuna sie tulivyotawaliwa na Wakoloni wa Kijerumani na Kiingereza tuliwakubalia! Hapana. Muda ulipofika tuliachana...
  6. N

    Mpango Kabambe (Marshal Plan) wa Elimu ya Gesi na Mafuta Umefikia wapi?

    Muda umepita tangu tusome kwenye magazetikuwa upo mpango kabambe wa Wizara ya Nishati wa kutoa elimu ya ngazi yadi PhDkatika masuala mazima ya sekta ya gesi asilia na Mafuta yaani utafutaji wake, uendelezaji wake,uchimbaji wake na usimamizi wake. Hivi wamefikia wapi? Hili suala laelimu ni...
  7. N

    Locals' stake in oil and gas goes beyong allocation on blocks to Locals

    CEO of RoundTable of Tanzania, Mr Mfuruki, is of the view that empowering Tanzanians in oil and gas exploration should go beyond just a few Tanzanian Individual being allocated exploration block (the famous Vitalu vya gesi vitakavyoanza kuwa mnadani mwezi Oktoba 2013). Let us discuss this.
  8. N

    Proud to be Tanzanian. Shame on you ....!

    . That is good Kilongola.
  9. N

    Wasira sikiliza;hekima na busara ni kubwa kuliko kanuni

    . Sasa wewe nnykyala unaposema Fulani ana busara kuliko Fulani umejuaje. Unatumia kipimo gani kujua busara zao!
  10. N

    Ridhiwani Kikwete, thibitisha au kanusha

    Sioni umuhimu wa hoja hii. Kama ni lake au si lake umuhimu wa hoja hii ni nini? Hivi mtu ukizaliwa na Rais unazuiwa kujenga!! au kufanyabiashara!!
  11. N

    Waziri Muhongo na dharau kwa wawekezaji wazalendo

    Hakili ya mtu haiendani na unachosomea bali na kuelewa unachosoma!! Kama wenye akili ni wale waliosomea Engineering tu, kweli dunia hii ingekuaje? Ingendeshwa kwa mitambo tu, hakuna madaktari kutibu watu, hakuna watu wa kufurahisha jamii kama wanamziki, nakadhalika. Ingekuwa dunia!! Uelewa wa...
  12. N

    Waziri Muhongo na dharau kwa wawekezaji wazalendo

    Wana JF: Hizi hoja za Prof Muhongo naona kama tunazijadili kwa hasira na mwisho wake watu wanaanza kutoa matusi makubwa! Je, hizi ni hasira za wivu au hasira za ukweli? Hoja tungezijadili tukiwa impartial yaani bila kuegemea upande. Na hapo tungepata mawazo mazuri. Ukipitia hoja za wengi...
  13. N

    Wassira Ikulu ni nyumbani kwa nani?Hadi...

    . Bwana M2flan: Ikulu ni Ofisi ya Mtawala wa nchi aliyechaguliwa na wananchi. Wakati akiwa hapo kwa idhini ya wananchi waliomtawala ana haki ni kualika watu ambao anaona wanafaa. Hata wewe kwako ukimwalika mtu na akaja akakosa kuheshima mahali pako utamwalika tena! Jamani tujaribu kujenga hoja...
  14. N

    Waziri Muhongo na dharau kwa wawekezaji wazalendo

    . Kiranga! Hivi wewe ukielezwa ukweli unavunjika moyo!! Mie nilidhani ukweli unatusaidia kujitambua na kutafuta namna ya kujikomboa. Mtu akinieleza kuwa wewe Nyamranga ni masikini. Na kweli najijua mie ni masikini. Hivi kwa nini nisikubali. Eti nianze kusema nimedharauliwa. Au nimevunjwa moyo...
  15. N

    Waziri Muhongo na dharau kwa wawekezaji wazalendo

    . Baba Koko nakubaliana na wewe. Nia yao wanataka wafaidi wao tu, lakini tuliobaki wengi tufe na umasikini. Janja ya namna hii tusiikubali.
Back
Top Bottom