Recent content by Nyamkwakule

  1. N

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Ukapimwe IQ aisee kama hata kujiongeza kidogo umeshindwa,kwa picha ya leo kweli umeona any threat ya kutumia nguvu yoyote kwa hivyo vyombo achilia nguvu kubwa, mngeacha kumsumbua mtoa uzi mkaanzishe za kwenu na nyie muunge unge ,acheni wanaoelewa anachoandika ,sio kila info ni kwa kila mtu...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Na asilimia kubwa ya wanaotekwa? Mmeshindwa udini ,siasa mnatafuta pa kutokea ,hiki kizazi ni tofauti na huko nyuma hao wanaomiliki kampuni wanapaswa kuwaza tofauti hivi visingizio havitasaidia vijana wamekataa ,siku watapata tu mbinu na njia na mbuyu utaanguka
  3. N

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Mpo jukwaa la intelligence hamjui CIA na wengine vile wanaoperate kwenye LDCs poor Gadafi trusted BRN T with his 6 akidhan spirit ya pan africanisim bado imo akilini mwake! Ivi Mkuu YOGA who exactly took out Mchonga?
Back
Top Bottom