Recent content by nyamchele

  1. nyamchele

    KERO Saranga wilaya ya Ubungo ina tatizo kubwa la upatikanaji maji

    Kuna Saranga kama Kata na Saranga kama Mtaa....kama mtaa (Serikali za Mitaa) ndio ipo Temboni kushoto kama unaenda Mbezi....
  2. nyamchele

    KERO Saranga wilaya ya Ubungo ina tatizo kubwa la upatikanaji maji

    Majimbo yake Mawili Kibamba na Ubungo kwa muda mrefu yalikuwa chini ya Chama flani hivi.....ingawa kwa sasa......
  3. nyamchele

    KERO Saranga wilaya ya Ubungo ina tatizo kubwa la upatikanaji maji

    Ni mojawapo ya kata za Jimbo la Kibamba,Kuanzia mtaa wa Kimara Mwisho, Stop Over, Michungwani, Kimara B, King'ongo, Saranga, Upendo n.k....check google map.....ni mojawapo ya Kata kubwa kwa Jimbo la Kibamba kando ya Kata ya Mbezi....kuacha maji barabara nazo.....
  4. nyamchele

    Baraza la Famasi Tanzania lafuta Matokeo yote ya Mtihani wa leseni ngazi ya Fundi Dawa Sanifu kutokana na udanganyifu

    Ndio maana wanafeli mno kwenye mitihani ya leseni.....angalia matokeo ya kaka zao......Serikali ikaze hivyohivyo kwa kurekebisha mapungufu na isirudi nyuma kwenye hili
  5. nyamchele

    Baraza la Famasi Tanzania lafuta Matokeo yote ya Mtihani wa leseni ngazi ya Fundi Dawa Sanifu kutokana na udanganyifu

    Baraza la Famasi Tanzania limefuta matokeo ya watahiniwa wote 2553 waliofanya mitihani ya leseni ngazi ya Fundi Dawa Sanifu (Pharmaceutical Technician) iliyofanyika mwezi February 2024 baada ya kuthibitika kuwa kulikuwa na udanganyifu kwenye mitihani yote mitatu. Watahiniwa hao sasa...
  6. nyamchele

    Serikali kuburuzwa mahakamani kuhusu wizara ya afya kubadili mitaala ya vyuo vya afya vya kati bila kufuata utaratibu

    Sijakuelewa kabisa mkuu....vipunguzwe mpaka wapi....alama ya F? Kwa maana nyingine kigezo kibaki kuwa kumaliza form 4 tu regardless ya performance ya level hiyo???
  7. nyamchele

    Serikali kuburuzwa mahakamani kuhusu wizara ya afya kubadili mitaala ya vyuo vya afya vya kati bila kufuata utaratibu

    Umeongea vizuri sana...ahsante....kwa mfano huohuo wa chujio ukifuatilia matokeo ya mitihani ya leseni ya Baraza la Famasi ndio utaona chujio linavyofanya kazi......mpaka unajiuliza huko vyuoni kulikoni.....inawezekanaje mtu anafaulu mitihani ya chuo na anafeli vibaya mitihani ya leseni???? Na...
  8. nyamchele

    Serikali kuburuzwa mahakamani kuhusu wizara ya afya kubadili mitaala ya vyuo vya afya vya kati bila kufuata utaratibu

    Ufaulu mzuri wa English, Hesabu, Biology na hayo mengine kwa ajili ya udahili wa kozi ya afya ni muhimu kwa kweli....yanayofanyika kwenye baadhi ya vyuo ili wanafunzi wafaulu ni ya aibu....hizi kozi si kwa ajili ya kila mtu....tuwaache wenye sifa wadahiliwe.....
  9. nyamchele

    Serikali kuburuzwa mahakamani kuhusu wizara ya afya kubadili mitaala ya vyuo vya afya vya kati bila kufuata utaratibu

    Kwa tafsiri ndogo Kupandishwa kwa vigezo kwenye mtaala mpya kunamaanisha vyuo vingi vitakosa wanafunzi walio na sifa za kujiunga na hao watakaofanikiwa kuwa wahitimu bora kuliko sasa....mtaala wa sasa unatoa wahitimu wengi wenye ubora hafifu.....
  10. nyamchele

    Furaha yako kubwa hapa duniani ni nini?

    SIKU YA KWANZA NILIPO INGIA MOCHWARI (MORTUARY) NILICHO KIONA NI NGUMU SANA KUELEZEA. Na Dk.Mohamed Bakari Abdallah Mwampogwa-Tanga. Kwanza niliona maneno yameandikwa (TULIKUWA KAMA WEWE). Kuelekea mlango wa kutokea niliona maneno yameandikwa (HIVI KARIBUNI UTAUNGANA NASI). Mh..! Kwa hakika...
  11. nyamchele

    Huu ni mmomonyoko wa Ardhi?

    Wataalamu msaada.
Back
Top Bottom