Recent content by nyambuka

  1. N

    Naomba msaada au ushauri kwa haya yanayonisibu

    Nenda kwenye nyumba za ibada uonane na kiongozi wa kiroho akusaidie maana wakati mwingine unahitaji ushauri na maombi pia jitahidi kutafuta marafiki sahihi utoke kwenye hali ya upweke pia kaa karibu na wazazi wako waeleze changamoto yako watakuombea na watakushauri pia Mungu Akusaidie sana ndugu
  2. N

    Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni

    suluhisho ni lipi sasa kama yeye spika analalamika na yupo kwenye chombo kikubwa cha maamuzi bunge ambalo ni mhimili wa nchi ..bila shaka anajua wananchi wanaumia kiasi gani kwa makosa wanayo yafanya ifike mahala waangalie na wajue wananchi ndio wenye nchi sio watu wachache walioko kwenye power...
  3. N

    Kuna Ufisadi wa kutisha Mamlaka ya Maji Arusha (AUWSA)

    ufisadi umerudi upyaaaaaaaaaa! ila mdau kaandika kwa uchungu:cool::cool:
Back
Top Bottom