Oneni aibu,viwanja vipi vinajengwa au kiwanja kipi kimejengwa,huyu bibi ni laana kwa Taifa,unajua matokeo ya timu ya taifa ya netball,inashika mkia,kila kitu bibi anadhani nikumwaga hela,wajanja wanazipiga tu
Nape alichokosea ni kuchagua kwamba ukaguzi uwe kipindi cha Magufuli,angeomba uanze tangia kipindi cha Mkapa mpaka awamu ya sita,watanzania wa sasa sio wale wa miaka ile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.