Katika historia ya tanzania tangu tupate uhuru mpaka sasa,tumekuwa na mawaziri wakuu takriban 10..nyerere,kawawa,msuya,sokoi ne,salim,warioba,malecela,suma ye,lowasa na pinda.Kala waziri mkuu alikuwa na sifa zake , ama kwa mazuri ama kwa mabaya.
Mwalimu nyerere alishika wadhifa huo kwa muda...