Recent content by Nyakua nyakitita

  1. N

    Mguu kwa mguu kujiengua kwa CHADEMA uchaguzi Serikali za Mitaa

    Kuhusu ofisi kufungwa viongozi pia hawakutoa Elimu
  2. N

    Jiji la Mbeya lashindwa kutengeneza barabara za mitaa viwanja vipya kwa zaidi ya miaka 8

    Nilinunua kiwanja Eneo la Mwakibete Mlima James mlima wa tatu toka mlima VETA karibu na Lyoto sekondari .Ni mwaka wa tatu sasa tangu ninunue ,lakini aliyeuza alipatiwa na jiji zaidi ya miaka 8.Nilipojaribu kuanza kujenga tu njia ambayo ilikuwa inatumika akajitokeza mtu mwenye kiwanja akaweka...
  3. N

    Naomba Serikali iangalie makato ya vyama vya wafanyakazi ni makubwa mno

    soma sheria ya utumishi na mahusiano kazini uk 36 ibara 61 na pia uk 43 https://www.google.com/url?q=http://www.lrct.go.tz/download/translated-laws/kiswahili-vision/mahusiano.pdf&sa=U&ved=2ahUKEwic7qOJ293aAhUOYVAKHf3oDAAQFjAAegQIChAB&usg=AOvVaw0SAe29C9ZkVvf0Icl9PR1T
  4. N

    Naomba Serikali iangalie makato ya vyama vya wafanyakazi ni makubwa mno

    hoja yangu ni kupunguza hilo nalitafakali ,fungua usome sheria hapa chini Kujiunga vyama vya wafanyakazi ni hiari au lazima kwa mujibu wa sheria ya kazi??
  5. N

    Naomba Serikali iangalie makato ya vyama vya wafanyakazi ni makubwa mno

    hayo ni maneno ya mdomoni ya vyama vya wafanyakazi tafuta sheria isome vizuri
  6. N

    Naomba Serikali iangalie makato ya vyama vya wafanyakazi ni makubwa mno

    Sheria ipo ila haimlazimishi mtu kuwa mwanachama kama wanavyofanya shart ujaze mkataba wa kuhiari,pili kama si mwanachama hutakiwi kukatwa bali unatakiwa kulatwa pale tu kunapokuwa kuna jambo ambalo wanalifanya kwa mwezi huo ambalo utanufaika nalo nakato hilo linaitwa duka la uwakala.
Back
Top Bottom