Recent content by nyakonga

  1. N

    JamiiForums Tanzania Fatma Karume: Prof. Mbarawa hawezi kusaini Mkataba bila Idhini ya Mwanasheria Mkuu Jaji Feleshi ambaye ni Mtanganyika, ulizaneni wenyewe!

    Feleshi amefanya kama alivyo wahi kufanya Andrew Chenge enzi hizo! Hao ndo wasukuma!
  2. N

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Machinga wasema awamu ya tano hawakusumbuliwa kama sasa

    Hawa ni wapuuzi na ni bora wavurushwe hapa mjini kwanini wanaponda mawe?
  3. N

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mbowe: Maslahi gani Washitakiwa kunyimwa Haki?

    Wanakomaa ili wapate nafasi kama ya Tulia !
  4. N

    JamiiForums Tanzania Siungi mkono Serikali kuwatafutia maeneo wamachinga. Hawa ni wahalifu walipaswa kuchukuliwa hatua

    Umesahau kundi jingine la Wasomi wa viuo vikuu!
  5. N

    JamiiForums Tanzania Mbowe azuiliwa na Mahakama kwenda Marekani licha ya kuruhusiwa na Spika Ndugai

    Mbona sasa hii Mihimili ya Ccmfisi inaingiliana? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. N

    JamiiForums Tanzania Benki ya Dunia imeiidhinishia Tanzania mkopo wa Sh1 trilioni kwa ajili ya kusaidia kaya maskini kupitia mradi wa Tasaf

    Hizo ni pesa za kufanyia kampeni 2020 kwa kuwadanganyia wananchi!
  7. N

    JamiiForums Tanzania Mkakati wa kuwafanya watumishi watumie TTCL unaweza kuua sekta binafsi za fedha na mawasiliano nchini

    Hi itakuwa kama Magazetu. Sasa hivi yamebaki ya ccm tu na serikali yake.
  8. N

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe aumbuka idadi ya vifo 100 Uvinza, RPC asema waliofariki ni wanne

    Yaani mtuhumiwa ndo huyo huyo mtoa taarifa ! Kazi tunayo.
  9. N

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi huyu wa Tume ya Uchaguzi alikana nini na hapa anakiri nini kuhusu kasoro za uchaguzi?

    Hii ni baada ya Jk kukutana na Magu. Inaonekana huu uamuzi umetoka juu!
  10. N

    JamiiForums Tanzania Hii kauli ya Rais Magufuli "Wafugaji walishe popote nchini" sio uchochezi? Hivi wakulima watapata haki zao kweli?

    Hivi wafugaji wanao hamahama nchini Tanzania ni kabila gani? Na Rais ni kabila gani?
  11. N

    JamiiForums Tanzania North & South Korea wameondoa tofauti zao. Iweje CHADEMA wanajitenga na CCM hapa Tanzania?

    Yaani ukae pamoja na wauaji na wakutupa maiti baharini na mtoni???????!!!!!
Back
Top Bottom