Hivi tatizo liko wapi? Mbona hayo maneno yanaeleweka vizuri kabisa. Swala la "Mbowe au Lissu" halina uzito wowote hapo. Sikilizeni Chama kimeagiza nini! Basi.
Tunaye hapa Msimamizi wa miradi ya Ujenzi (Majengo na Barabara) Fundi Sanifu Mwenye uzoefu wa siku nyingi. Kwa Mwenye miradi huku Mwanza hasa UKEREWE tuwasiliane mwanzahuduma7@gmail.com
Asante sana kwa mchango wa mawazo. Non Consultancy Services ni eneo pana Sana na kazi zake ni makundi mengi Tofauti Tofauti. Sisi tumesajiriwa na tumeanza kutoa huduma zetu hata kwenye taasisi za umma kupitia mfumo wa NeST.
Huduma zetu Kama ulivyotoa mfano kwa huyu wa Dodoma Sasa tunazileta kwa...
Tumeamua kutoa huduma mbalimbali ndani ya Mkoa wa Mwanza (Wilaya zote) ili kuwasaidia watanzania wenzetu walioko mbali na Mkoa huu. Wasiliana nasi ili tukusaidie kupunguza changamoto Kama si kuimaliza kabisa - unayokabiliana nayo kwa vile uko mbali na Mwanza. Kwa wenye uhitaji huo njoo...
Umeongea kwa ukali Sana. Wazo langu kwao....kama wako laki tano (mfano tu)
500,000 x Tsh.10,000@=5,000,000,000 yaani Tsh. Bilioni Tano. Watafute namna ya kujiajiri. Ni hayo tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.