Kazi kwelikweli jamaa hana kosa lolote we ndo ulitakiwa kuomba msamaha waliya juu na kumuhakikishia kwamba sitarudia, ukishaingia kwenye ndoa Au mahusiano marafiki piga chini ndo maana wengine mpaka line za simu wana badili, wivu una husika kwenye mapenzi ya kweli,
Jamaa anaonekana mkweli sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.