Unaambiwa Soma kwa jina la mola wako.
Ukisoma vema utagundua kuwa Mwenye Elimu ni Mbora zaidi ktk jamii Sio tu ktk Jamii bali hata mbele ya Muumba.
Elimu ni kila kitu!
swali ni elimu ipi hiyo
Kuna 1. Elimu kuhusu muumba(mungu) hatuipi kipaumbele 2. Elimu tunayo ipa kipaumbele ni Dunia na...
Elimu. Ni muhimu ili uweze kuamini uwepo wa Mungu.
Pia uweze kutofautisha alivyoviumba na muumba.
Bila Elimu sahihi trust me u will go astray!
Mimi binafsi nilikuwa najiuliza kwa nini hatuzaliwi tukikua kila kitu?
Kwa nini jatujuwi mambo mengi mpaka tujifunze nani ajuaye kila kitu
Tunabia elimu...
Hawatamuweza kamwe.
Awali ya yote. Fanyeni tafiti asili ya Jina Makongoro.
Kiufupi amerithi jina la chief Wa waikizu Chief Makongoro
Aliyekuwa ameoa wake zaidi ya 50 ktk uhai wake!
Sasa Tangu lini Chief na Matawala akawa na Mke mmoja! Chief Nyerere mwenyewe alikuwa na wake 22! Nini cha ajabu...
Jamani eleweni kuwa Awali ya Yote ni kuidhinishwa na chama.
kisha chama baada ya kumpata mgombea wake.
Huanda sera kwa ajiri ya kampeni.
Si tuu inafaa kupewa urais Ikumbukwe kuwa atakuwa mwenyekiti Wa CCM Taifa.
Wanaosema nitafanya hili mara lile hizo ni poroja kwani huu sio wakati Wa kampeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.