Pole katika hilo, nenda ustawi kwa msaada wa uhakika na wa haraka. Pili, tafuta mashirika yanayotoa msaada wa kisheria ama yanayohusika/ shughulika na utetezi wa haki za wanawake na watoto. Tatu, samahani upo mkoa gani?
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Amen! Wahusika wote wa tukio hilo Mungu kuteka nao kwa njia yako ya kimbingu kwa kadri utakavyopenda iwe na iwe sasa. Mungu usimuache hata mmoja. Amen.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Tangy kuumbwa kwangu sijawahi kuona anayependa wanyonge anakuwa na kisasi, jaziba, anaangiza ua tu, kupenda kusifiwa kwa kweli sijawahi kuona.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Siamini taarifa hii na MUNGU anisamehe. Si taarifa ya askari aliyepata mafunzo ya jeshi la polisi ama nikutaka kufurahisha watu ama kuficha ukweli fulani. Pia hebu polisi wa sasa hivi ni kuua ua tu? Mbinu za kila mate hakuna?
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.