Recent content by nyabanane Songambele

  1. N

    Natafata mume, mwenye sifa hizi

    Mimi ni Binti mwenye umri wa miaka 30, Natafata mume, Sibagui umri wala kabila, Karibuni kwa mwenye kuhitaji mke aliyekamilika na anayempenda Mungu. Atakaewahi atapewa kipaumbele Tukutane PM
  2. N

    Benki Kuu acheni kuwalinda Tigo Pesa

    Na mimi Kuna lalamiko langu nilipeleka BoT,Kuna dalili hata hukumu yangu pia ikafanana na ya kwako maana naona kama Benki kuu inakwepa majukumu yake,Na mbaya zaidi nimeona Jina la huyo Mwanasheria wa Benki kuu anaitwa Violeth Luhanjo nahisi uwezo Wake ni kdogo sana,maana hata kwenye ishu yangu...
  3. N

    PSSSF, mfuko umefilisika au mmeamua kuwadhalilisha wastaafu?

    Habari, Napenda kuwasilisha kero inayowakabili wastaafu wa serikali kwani wengi wao hawajalipwa kiinua mgongo chao toka mwezi wa 7 hadi leo, wakati hao watu wa mifuko ya mafao husema mafao huchukua siku 7 tu, je mifuko imefilisika au wameamua kuwadhalilisha wastaafu Hawa?
  4. N

    Benki Kuu acheni kuwalinda Tigo Pesa

    Mkuu samahan,hizo siku 45 Huwa wanazihesabu vipi, nisaidie hapo then nije na nyongeza katika hilo
Back
Top Bottom