Jimbo la mwibara likikupa ubunge jua tu kwamba ni miaka mitano basi! Na ukileta za kuleta hata mitano humalizi unapingwa mahakamani na jimbo kubaki bila mbunge. Kangi ajiandae kisaikolojia.
Salaam wana ukumbi!
Nimekutana na ndugu yangu akiwa amebadilika ngozi yake nimeshindwa kuelewa chanzo na matibabu yake.
Kama kuna mwenye kuelewa chanzo na mbinu za kutumia ili ajilinde na kupona kabisa atusaidie. Naambatanisha picha kwa msaada zaidi.
Mimi natoka jimbo la Mwibara, naumia sana kuona wachumia tumbo wakitumia vibaya nafasi zao na kuanza kukwapua ardhi za watu walio kufa! Nimejilidhisha huu mgogoro hauna mausiano na chuki za kisiasa ndani ya makundi kama bandiko lilivyoeleza.
Kilichopo ni kwamba kuna shamba ndilo linalo leta...
Mhh!! Wabunge wetu nao ni shidaaaa!!!! Wanaangalia matumbo yao tu! Sasa anaingiaje kwenye eneo la wetu wengine? Huu si ndiyo uonezi kwa watu wasio jua sheria! Kama kuna uwezekano mpelekeni mahakamani ili mpate haki yenu. Watu wakipata pesa wanaanza kuumiza watu wa kawaida ndo kama hivyo! Mbunge...
Kwa yeyote anayefahamu mambo ya ujenzi naomba ushauri, nyumba ya kuishi hasa hapa dar yenye vyumba vitatu, 2 bed room na 1 master yenye sebure na dining , jiko stoo na choo cha ndani ( public toilet ) kwa kawaida inatakiwa iwe na ukubwa gani ( building Area sqm ngapi)? Kiwanja ni sqm za mraba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.