Kuwa form 4 cyo insu kabisa,kuna watu ni standard seven lakin wanafanya mambo as if graduate,ila kuusu uyu jamaa bila kumung'unya maneno nikiradha sanaaaa akufaa kabisa kuwa kiongozi ila waliomchagua kwa tafri nzuri ambayo ukweli mchungu ndiyo viradha zaidi wamemchagua kiradha mwenzao mwenye...
Bwana Sikonge post yako haina mashiko wala chembe ya fikra tatuzi ya migogoro inayoendelea kwa sasa nchini.
Hivi ikatokee leo wewe unaenda hospital unaulizwa dini yako ili utozwa pesa nyingi sindiyo kila siku maandamano yatakuwa yameboresha kwa kasi mpya, angalia post zako, jua zinasomwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.