Usafi wa Mtu/Mazingira yake ni Tabia, inaweza kuwa ya kuzaliwa nayo au ya kujifunza, inaweza kuwa kujifunza kwa hiari au kwa kulazimishwa; sasa hili swala la Usafi wa Miji yetu inabidi kuwekwe utaratibu huo, kuwa usipokuwa msafi kwa hiari, basi utakuwa msafi kwa kulazimishwa (iwe sheria au...