Kwa hiyo milioni 1.5 naweza kufungua kisaloon cha kawaida au ninunue bodaboda naombeni ushauri wenu wanajamii kipi ni bora zaidi kukifanya maana hela nyenyewe ndio hiyo hiyo naitegemea initoe.
Kanambia lazima nisome account ili pia niwenamsaidia ktk biashara zake huyu jamaa ni anko wangu kabisa lkn pia kasema hatonikataza kuomba kazi,sehemu zingine na mipango yote kaisha fanya ya kusoma t.i.a compas ya dar na imeshakamilika..
Nimepata mtu wa kunirudisha chuo tena baada ya mwaka jana kuishia diploma one kwasababu za kiuchumi kwani nilifiwa na baba sasa insu iko hivi huyu mtu anaetaka kunirudisha chuo kanipa option mbili yaani nichague anisomeshe account au procurement nichague 1 sasa cjui nichague kozi ippi ndg.zangu...
Wakuu nauza simu tajwa hapo juu bado mpya naiuza kwasababu hii sinu nimepewa na mm sipendi aina hii ya simu kama uko powa na.0713626027 au text whatsapp.
vp mkuu mimi nina nokia lumia 520 bado mpya iko kwenye box nilipewa kwenye bday yangu sasa mimi huwa sipendi lumia so natafuta mtu mwenye android tubadilishane my no.0713626027
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.