Kutongozana mpaka miaka ya Leo???? [emoji4][emoji4][emoji4] nakumbuka miaka ya nyuma unamtongoza demu anakujibu ombi lako nitarifikilia [emoji23][emoji23][emoji23]
Siku hizi akikupa tu namba unamtoa out baada ya hapo ni demu wako
Dah umeamka asubuhi huelewi unaanzia wapi huna hata Mia mbovu, na Jana usiku ulilala njaa huku ukiamini kesho utapata...unaondoka unaenda kituo cha daladala unamvizia konda akiwa hakuangalii unaingia kwenye daladala unatulia tuli, akija kudai nauli unamwambia nimeshakulipa na chenji nakudai 600...
Unajikuta kama uko smart kweli kwenye kila kitu kumbe yamkini hunalolote sorry to say..tatizo watz ni wavivu kusoma pengine hata post haujaisoma...nimeuliza possible questions za Interview sijakuambia watamuuliza maswali gani...soma,elewa , tafakari then come up with the right answers
We mpuuzi kweli sorry to say kwani nimekwambia hawezi kujibu nimesema possible questions za Interview ni zipi alaaa sku nyingine usikoment kama huna la kujibu
Poleni na kazi wakuu..nnamdogo wangu ameitwa kwa ajili ya Interview siku ya jumanne ameniomba nimfanyie rehersal kidogo...sina uzoefu na maswali wanayouliza kwenye Interview...
NB. Interview inahusiana na kazi usambazaji na uafisa masoko wa magazeti kwenye kampuni ya inayochapisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.