Rais JPM anatuamsha usingizini.
Nyongeza Ya Mshahara haijawahi kuwa keki hadi iletwe mezani kwenye kisosi.
Suala hili la nyongeza Ya Mshahara kwa sekta ya umma binafsi nalitazama katika mtazamo wa aina mbili.
1. Wafanyakazi kupitia shirikisho lao la TUCTA wameacha misingi Na malengo ya vyama...
Kwa miezi miwili mfululizo, kampuni ya kuchimba alamasi ya El Hillal Minerals iliyoko Mkoani Shinyanga, haijawalipa wafanyakazi wake mshahara.
Juhudi zote za kistaarabu hazijazaa matunda. Ukiongea na management wanasema wazi kuwa hawana pesa ya kulipa kwasababu serikali imewazuia kuuza almasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.