Hao wageni wa kimataifa hawajui nchi yetu ni masikini? Kwa hiyo wewe ukitembelewa na mgeni uko tayari kukopa umchinjie ng'ombe akuone u tajiri huku familia yako haina uwezo ? Yaani unafurahia 'show off' kwa wageni badala ya furaha kwa wananchi? Lengo la KIKWETE kuomba urais ilikuwa kuwa...
INATIA KINYAA chama kinachojinasibu ni kikongwe na kilichokomaa kinachagua kiongozi wake kwa kigezo cha kuwa RAIS! Utamaduni na desturi isiyo na afya kidemokrasia inayompa Rais madaraka na maamuzi yasiyoweza kuhojiwa na yeyote. Tulitegemea kuwa CCM itakuwa imejifunza kupitia utawala uliopita...
Tumeambiwa na Makamu wa Rais kuwa Rais wa JMTZ ameagiza fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya sherehe ya muungano wa TANGANYIKA NA ZANZIBAR zigawanywe kwa usawa, usawa upi! Mathalani zikiwa ni bilioni 2 0 tsh. Je Zanzibar wapewe bil.5 hali kadhalika Tanganyika!?
Ikiwa Zanzibar ina idadi ya...
Katika nchi ya watu walio sawa na huru na inayofuata msingi wa binadamu wote kuwa sawa na kwamba hakuna mtu aliye juu ya sheria inakuwaje kuna ubaguzi wa wazi namna hii!? Hii ni rushwa ya wazi kwa wawakilishi wetu ili wasiweze kuikosoa kwa uwazi pale inapotakikana kufanya hivyo. Kila mara...
Kwenye masuala yenye afya kwa usitawi wa Taifa letu si vema kugawanyika kama tu Wazalendo kweli. Sulala la Tume huru ya uchaguzi linapaswa kuwa ajenda yetu sote bila kujali vyama vyetu kwanza. Vyama vyetu vipendwa vyaweza kufa lakini Tanzania itabaki. Tuunge mkono hoja hiyo kwani CCM tunaogopa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.