Mkuu nimejalibu kupitia Uzi wako ila mkuu bola ukazungumza kitu ambacho ushakifanya.tatizo nyie mnasoma vitu ambavyo tayar watu walivisoma sehem waka wapa na nyie mka copy Mimi ni mtz wenzako kwa hivyo kitu ambacho nakielewa natakiwa niwaelezee ila kama mtashidwa kuelewa tutatumia biblia...
Mimi siwezi kuenderea kuongea zaidi mkuu Ila kila MTU na umaskin wake wa roho watu wanadhan natania kama nipo kiutani kunafaida gani in kuacha wafu wazike watu wenzao kuna watu hawajui ndani ya astral projection unawezaje kutengeneza mnyama Mimi sitaongea chochote maana maelekezo yangu...
Mimi siwezi kuenderea kuongea zaidi mkuu Ila kila MTU na umaskin wake wa roho watu wanadhan natania kama nipo kiutani kunafaida gani in kuacha wafu wazike watu wenzao kuna watu hawajui ndani ya astral projection unawezaje kutengeneza mnyama Mimi sitaongea chochote maana maelekezo yangu...
Hahah du bora ungesema hivyo umefanya astral projection kuliko unaongea vitu visivyokuwepo kabisa bora ukaamin mungu yupo uende usimkute kuliko usiamin uende umkute bc hili somo sitalitoa tena nitalitoa kwa watu maaluma ambao nimeanzanao nadhani mnafikiri nawapotosha kaeni hivyo hivyo
Jitahisi kufanya meditation ndani ya astral projection utapata nguvu yoyote utakayo ihitaji ila kwa juhudi zako tu
Attachments
FB_IMG_16165291656910862.jpg
File size36.6 KB
Views0
FB_IMG_16151457175855688.jpg
File size139.8 KB
Views0
FB_IMG_16161818991305458.jpg
File size180.3 KB
Views0...
KAMA WEWE USHAWAHI FANYA ASTRAL PRIJECTION nakuuliza swali dogo tu ukilipata utakuwa kweli ni moja ya watu walio fanikisha
1.hali inayoonekana katika ulimwengu wa nafsi ni A.usiku,B.mchana C.normal
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.