Marekani alimtandika Japan nuclear na akaua malaki ya watu pamoja na effects lkn sasa hivi ni marafiki wakubwa....yaani ni zaidi ya marafiki.
Ujerumani ilichinja zaidi ya jews 6M..saizi life as usual...
Mnataka wateketeze watu kisha dunia iseme wameua watu wasio na hatia...mbona vitu vingine ni akili ndogo tu.....Hivi unafikiri walishindwa kupiga makombora ovyo..mji wote ukakaa....vita inahitaji akili pia...You can win the battle but you can loose the war....
Unajichosha tu aisee...hivo vita UKRAINE anaumia sana..miundo mbinu etc...Na hawezi kuchomoka kirahisi..ndo maana anaonewa huruma na kusaidiwa sana...
Hivi vita vimetokea sababu ya ubabe wa viongozi wa sasa..pande zote mbili WESTERN ikiongozwa na NATO na US pamoja na Urusi pia..lkn anaeumia ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.