Recent content by Ntolonyonyo

  1. Ntolonyonyo

    UN: Watu milioni 10 waikimbia Ukraine

    Si nasikia wanashinda vita hawa na kumchachafya mrusi..mbona wanakimbia tena???
  2. Ntolonyonyo

    Chechen imepoteza jenerali wake, ni mojawapo wa majenerali ambao wameuawa Ukraine

    Sasa mlitaka nani wafe...washinde vita..waache maneno na ujinga..raia wanaumia
  3. Ntolonyonyo

    Urusi yatumia kombora la kisasa la hypersonic, huko Ukraine

    Marekani alimtandika Japan nuclear na akaua malaki ya watu pamoja na effects lkn sasa hivi ni marafiki wakubwa....yaani ni zaidi ya marafiki. Ujerumani ilichinja zaidi ya jews 6M..saizi life as usual...
  4. Ntolonyonyo

    Ufisadi Jeshi la Urusi waibuka ndio sababu ya magari na vifaru kupigwa na Ukraine

    Mnataka wateketeze watu kisha dunia iseme wameua watu wasio na hatia...mbona vitu vingine ni akili ndogo tu.....Hivi unafikiri walishindwa kupiga makombora ovyo..mji wote ukakaa....vita inahitaji akili pia...You can win the battle but you can loose the war....
  5. Ntolonyonyo

    Ufisadi Jeshi la Urusi waibuka ndio sababu ya magari na vifaru kupigwa na Ukraine

    Sasa si Ukraine washinde vita....sababu si faida kwao...au Ukraine wanataka nini tena?
  6. Ntolonyonyo

    Nchi za Magharibi zitashinda vita na Urusi, Magharibi wanapigana kisayansi Putin yatamkuta ya Saddam Hussein muda sio mrefu

    Unajichosha tu aisee...hivo vita UKRAINE anaumia sana..miundo mbinu etc...Na hawezi kuchomoka kirahisi..ndo maana anaonewa huruma na kusaidiwa sana... Hivi vita vimetokea sababu ya ubabe wa viongozi wa sasa..pande zote mbili WESTERN ikiongozwa na NATO na US pamoja na Urusi pia..lkn anaeumia ni...
  7. Ntolonyonyo

    Hiki kifaa cha NLAW kimekuwa mateso kwa vifaru vya Warusi

    Hahaha naona wakenya mnapambana kumtetea Ukraine na USA...kama vipi nendeni mkajitolee kushika mitutu kabisa...
  8. Ntolonyonyo

    Zanzibar: Kanisa la T.A.G pamoja na makazi ya Mchungaji wake Daudi Suna, yamebomolewa na wanaodaiwa ni wakazi wa eneo hilo

    Wao mbona misikiti inajengwa kila kona...tena kwenye makazi ya watu..lkn watu wala hawajali... Zile kelele za vipaza sauti mbona tunskausha tu
  9. Ntolonyonyo

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Elfu 11???...hata BBC hawajasema hii...bila shaka upo ndani ya Kiev kabisa...
Back
Top Bottom