Ukiwa na uwezo mdogo wa kufikiri, unaweza kusema lolote linalokuja kinywani mwako bila kulitafakari kwanza. Haya tuanzie kwenye familia yenu kuna wasomi wangapi?
Kwani nchi hii ccm imeamua kuifanya kuwa kichaka cha kijichotea mihela. Unamlipa mtu mmoja mshara wa 11m kwa mwezi huku Waalimu na Wauguzi wkiendelea na kilio cha ongezeko la mishahara yao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.