Recent content by Ntiyakama

  1. Ntiyakama

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi Mtendaji Bariadi: Sakata la Daktari kumpiga muuguzi hospitali ya Somanda limemalizwa kwa maridhiano

    Ni ukosefu wa maadili na kupuuzwa kwa misingi ya sheria ndio kumetufikisha hapa tulipo. Kinachotia wasiwasi zaidi ni kule tunakoelekea tusipojitafakari na kuchukua hatua stahiki💔 Tulipofika utaratibu au sheria yeyote inaweza kuvunjwa nyuma ya mgongo wa matumizi ya busuara. Maneno “busara” na...
  2. Ntiyakama

    JamiiForums Tanzania WordPress

    May you please recommend which one? (best and affordable).
  3. Ntiyakama

    JamiiForums Tanzania WordPress

    Natumia free SSL ya bluehost
  4. Ntiyakama

    JamiiForums Tanzania WordPress

    Hello Tech, Someone to help please. I'm using WordPress but recently this massage appared. "This site can’t provide a secure connection afyapin.com uses an unsupported protocol. ERR_SSL_VERSION_OR_CIPHER_MISMATCH" I cant even login in my site admin. PLEASE HELP 🤝.
  5. Ntiyakama

    JamiiForums Tanzania Kwa mlo huu niko sawa?

    Soma hapa Kwa maarifa zaidi kuhusu hilo. https://afyapin.com/aina-za-virutubishi/
  6. Ntiyakama

    JamiiForums Tanzania Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

    Jifunze na fahamu madhara ya pombe kwenye mwili wako. Itakusadia kujenga sababu za kwanini uache pombe. https://afyapin.com/madhara-ya-matumizi-hatarishi-ya-pombe/
  7. Ntiyakama

    JamiiForums Tanzania Macho yangu yamepoteza nguvu ya kuona karibu na mbali

    Picha gani kati ya hizo juu hapo ni kielelezo cha nanma unavyoona utazamapo kitu?
  8. Ntiyakama

    JamiiForums Tanzania Duka la dawa ni salama mikononi mwa muuguzi (nurse)

    U Soma tena kilichoandikwa.
  9. Ntiyakama

    JamiiForums Tanzania Duka la dawa ni salama mikononi mwa muuguzi (nurse)

    Fikiria Kuhusu hili👇 "Katiba tunayotumia sasa ilitungwa mwaka 1977, kufikia mwaka 2005 tayari ilikuwa imefanyiwa mabadiliko mara kumi na nne (14)." Mahitaji na uhalisia wa mambo, vinaweza kubadilisha chochote muda wowote, hata sasa. Kukariri kunafirisi uwezo wetu wa kufikiri. TUSIKARIRI.
  10. Ntiyakama

    JamiiForums Tanzania Duka la dawa ni salama mikononi mwa muuguzi (nurse)

    Kilicho elezwa hapo ni majukumu ya Muuguzi. Soma tena,
  11. Ntiyakama

    JamiiForums Tanzania Duka la dawa ni salama mikononi mwa muuguzi (nurse)

    Na Bernard Ntiyakama, BScN, TMCEHP, RN. Mafunzo yanayomwandaa mtu kuwa Muuguzi humpa maarifa anayo yahitaji kutekeleza wajibu mbalimbali za kitaalamu ikiwemo kutoa Dawa. Jukumu hili lanabakia kuwa salama sana mikononi mwa Muuguzi kwa sababu nyingi ikiwemo zifuatazo. 1. Anaufahamu mwili na...
  12. Ntiyakama

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu apiga marufuku manesi kufanya kazi katika maduka ya dawa

    WAZIRI UMMY MWALIMU, USIPOTOSHWE NA WAFAMASIA KUHUSU ADDO, MTAANGAMIZA AFYA ZA WATANZANIA. Na Prof Patrick Koboko(MD,MMED,PhD)  Salaam Mhe Waziri! Kwanza kabisa nikupe pole na hongera nyingi sana kwa majukumu iliyonayo ya ujenzi wa taifa hususani dhamana kubwa uliyopewa ya kushikilia afya...
  13. Ntiyakama

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu apiga marufuku manesi kufanya kazi katika maduka ya dawa

    WAZIRI UMMY MWALIMU, USIPOTOSHWE NA WAFAMASIA KUHUSU ADDO, MTAANGAMIZA AFYA ZA WATANZANIA. Na Prof Patrick Koboko(MD,MMED,PhD)  Salaam Mhe Waziri! Kwanza kabisa nikupe pole na hongera nyingi sana kwa majukumu iliyonayo ya ujenzi wa taifa hususani dhamana kubwa uliyopewa ya kushikilia afya...
  14. Ntiyakama

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu apiga marufuku manesi kufanya kazi katika maduka ya dawa

    WAZIRI UMMY MWALIMU, USIPOTOSHWE NA WAFAMASIA KUHUSU ADDO, MTAANGAMIZA AFYA ZA WATANZANIA. Na Prof Patrick Koboko(MD,MMED,PhD)  Salaam Mhe Waziri! Kwanza kabisa nikupe pole na hongera nyingi sana kwa majukumu iliyonayo ya ujenzi wa taifa hususani dhamana kubwa uliyopewa ya kushikilia afya...
  15. Ntiyakama

    JamiiForums Tanzania SoC01 Daraja kati ya Shule, Elimu na Maisha

    Karibu,
Back
Top Bottom