Nkyambe
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 274
- 201
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu apiga marufuku manesi kufanya kazi katika maduka ya dawa za binadamu (pharmacy) kuanzia Desemba 30, 2017
Na yeye awaambie viongozi wenzake wasiwe na shughuli yoyote nje ya huo uwaziri na ubunge
Sent using Jamii Forums mobile app