Recent content by Ntinje

  1. N

    Arusha: Rais Samia ashiriki Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT - Agosti 21, 2023

    Thanks for the nice clarification!
  2. N

    Kampuni ya KenGen ya Kenya yaomba tenda ya kuchoronga visima vya kuzalisha umeme wa Joto Ardhi Tanzania. Je, wapewe au wapigwe chini?

    Napendekeza hii kampuni ipewe kazi hiyo. Ni kampuni zuri sana na hakika umeme wa joto ardhi utatusaidia katika vipindi hivi nya mabadiliko ya tabia ya nchi
  3. N

    Bungeni Leo: Sera ya "elimu bure" kufutwa? CCM kama kawaida yao wanatanguliza mbunge Kasheku Msukuma kupima upepo. Wewe unasemaje?

    CCM kama kawaida yao wanatanguliza mbunge Kasheku Msukuma kupima upepo. Wewe unasemaje???? hIKI ULICHOANDIKA SIYO NDOTO??? NANI ALIKUAMBIA KUWA WAMEMUTANGULIZA??? EBU CHUKUA JEMBE KALIME USILAL E MCHANA NA KUTUPA NDOTO HIZI
  4. N

    Ukaguzi wa vyeti vya taaluma ya udereva

    Habari wadau! Katika mitandao ya kijamii kuna clip inamuonesha Kamanda wa usalama barabarani akiongelea juu ya ukaguzi wa vyeti vya taaluma ya udereva. Nasisitiza hapa amesema MADEREVA WOTE WA MAGARI. Narudia " MADEREVA WOTE WA MAGARI WATEMBEE NA NAKALA ". Hatua kama hiyo italeta taafurani...
  5. N

    Bungeni Leo: Sera ya "elimu bure" kufutwa? CCM kama kawaida yao wanatanguliza mbunge Kasheku Msukuma kupima upepo. Wewe unasemaje?

    Kweli wewe ni Bugiki....yaani ndoto zako za mchana ndiyo utuletee hapa tujadili. Umeota weeee halafu unaleta hapa...nani ka kuambia hiki.....ebu tuweni wapana kimawazo tuache ufinyu wa namna hii. Lawama kila kuchao kwa hoja za ndoto za mchana.
  6. N

    Nape Nnauye: Anaachwaje kichaa mmoja hivi anasema ‘Mama hatukuelewi’?

    My brother Nape, mambo ni mengi na muda ni kidogo, muache huyo kijana
  7. N

    Je, Waziri Mkuu anajitenga na Serikali?

    mhuu wewe kweli ni bibititi 1.......Huo muda ungechukua jembe kwenda kulima ungekuwa umemaliza ekari. Mwache PM wa watanzania
  8. N

    Meya wa Moshi kuingia darasani kufundisha wanafunzi na kumsifia Rais Samia mbele ya wanafunzi ni sahihi?

    Wizara ya Elimu popote mlipo , NAOMBA MKEMEE HIKI KITENDO HARAKA SANA KWANI NI KUDHALILISHA TASNIA YA UALIMU. HIVI KWANINI TUNARUHUSU HUU UJINGA UTAMALAKI? WIZARA YA ELIMU TOENI KAULI JUU YA HUU UJINGA.
  9. N

    Mwanafunzi atangaza kuwania nafasi ya Spika wa Bunge

    Nikusihi sana jitahidi uwe na moyo wenye uvumilivu na ulojaa hekima. Kijana huyu amekosea wapi? Ni haki yako pia kikatiba kwenda kuchukua fomu. Unadhani viongozi kama JK, BWM na wengineo wengi walianzaanzaje hadi kufika hapo? Hata mti haunzi tu hivi hivi....una hatua zake za ukuaji. Hivyo, hiki...
  10. N

    Ombi kwa Rais Samia juu ya usalama wa Raia katika barabara zetu

    Pole na majukumu mheshimiwa Rais na pole pia kwa msiba wa kuondokewa na watanzania wenzetu 14 huko mkoa wa SIMIYU. Mheshimiwa Rais naandika ombi hili nikiwa na masikitiko ya kuwapoteza hao ndugu zetu. Binafsi sina ninayemjua lakini wale ni watanzania wenzetu na huo ndiyo msingi wa maumivu...
  11. N

    Waziri Mkenda: Hii sio Wizara ya Elimu tu, bali Elimu Sayansi na Teknolojia kwa mapana yake

    Hii wizara imepata watendaji wazuri sana. Mstituangushe na msimuangushe mheshimiwa Rais. Prof. Mkenda tunakujua na tuna imani na wewe. Ni miongoni mwa watu walinyooka wasiokuwa na chembe za kona kona. Pamoja na hayo yote, tunamshukuru sana Dr. Akwilapo hakika alikuwa mtendaji mzuri sana na bado...
Back
Top Bottom