Recent content by Ntinje

  1. N

    DOKEZO GE2025 Kashfa kubwa mchujo wa Ubunge Mwanga. Kama wewe sio Muislam hupiti. Sikiliza audio iliyovuja

    In all strongest terms, we condemn any form of religious discrimination as depicted in this video clip. Religious intolerance stands in direct violation of fundamental human rights, dignity, and the principles of peaceful coexistence. Every individual has the right to worship freely, without...
  2. N

    Mzoga Hauna Kivuli, Lakini Harufu Yake Huishi

    Hakuna ulichoandika ndugu yangu. That's rubbish. Vijana mnakwama wapi? Kwanini usitulie uka synthesize mambo in three dimensions. Ukawasilisha jambo kila anayesoma anaona kweli kijana kaandika. Narudia, jifunzeni kuona mambo in 3D.
  3. N

    Mzoga Hauna Kivuli, Lakini Harufu Yake Huishi

    Umeandika nini? Yaani Taifa hili limekosa critical thinkers. Honestly, this is rubbish. Mtu unatakiwa ukae chini utizame mambo katika mizania mipana na siyo hiki vijana mnachofanya.
  4. N

    GE2025 George SimbaChawene can be the best PM if appointed

    Hata mwenye kuteua huko anashangaa anaona madhara ya K vant kwa vijana. Critical thinkers wamepungua.
  5. N

    Prof Kitila kusema Pato la wastani kwa kila Mtanzania ni US Dollars 7 million kwa mwezi Nadhani ni ulimi tu umeteleza au ni kazi ya AI

    Chimbuko la matatizo mengi nchi hii yaanzia chuo kikuu cha Dar es Salaam. Wasomi chukueni hii kama mada ya utafiti, mutaelewa ninachosema.
  6. N

    Matumizi ya mkaa na kuni yanaua Watanzania wengi kuliko UKIMWI

    Suala la matumizi ya nishati safi ni jambo jema. Kikubwa acheni kuweka siasa kwenye mambo ya nayohitaji utaalamu tunalipoteza Taifa. Tutumie wataalamu katika mambo haya. Sitaki kuongea sana.
  7. N

    Tazama namna Ridhiwani Kikwete alivyoingia kwenye Kikao cha Baraza la Mawaziri huku akisikilizwa kwa umakini na wenzake

    Hivi wewe, ebu leo niulize, hizi hoja unazoleta siku zote huwa umezichakata vizuri? Malengo yako huwa ni kutafuta nini? Hivi background ya kitaaluma yako ni ipi? Je, ni shule ipi ulisoma au chuo kipi ulisoma? Kwa ujumla hiki ninachokiona kina niuma kweli kuona aina ya kijana kama wewe. Hata...
  8. N

    Waziri Ulega: Kufanya shughuli za kijamii (kwaya, maulid, picha) Daraja la Magufuli lazima uombe kibali

    Bila shaka huu ndiyo ujumbe uliokusudiwa. Nakubaliana na wewe
  9. N

    Nashauri serikali itumie zaidi wanafunzi wa masters, PhD na PostDoc kufanya tafiti na kuchapisha maandiko kama tunataka kufika mbali katika tafiti

    "Pole kabisa, naona mchango wako umejaa siasa za kawaida tu, badala ya kuona hali halisi ya vyuoni hapa Tanzania. Hivi, kweli mnaishi kwenye jamii yetu au mnaishi kwenye vacuum kiasi kwamba hamna interaction na jamii? Kwa nini msijaribu hata kufika vyuoni, kuzunguka, kuzungumza na wanazuoni, ili...
  10. N

    Prof. Mkenda na Mchengerwa mbona hamko serious na kazi zenu?

    Pamoja na changamoto zote, lakini MCHENGERWA anao unafuu kuliko Prof Mkenda. Yaani kiukweli kabisa hawa wengi wa Maprofesa binafsi sielewi utendanji wao. Ongezea Prof Kitila.....yaani maneno mengi bila utendaji. Wagumu wakushaurika @ Mama Samia, Rais wetu........ebu ikikupendeza hawa watu...
  11. N

    Working Together for Safer Banana Ripening: Guidance for TBS

    Introduction The Tanzania Bureau of Standards (TBS) plays a crucial role in ensuring food safety and quality in Tanzania. Recent discussions regarding the use of ethylene gas for ripening bananas in Dar es Salaam highlight the need for transparency and consumer safety. Ethylene, a natural plant...
  12. N

    Proposal to President Samia Suluhu Hassan for Restructuring Tanzania’s Education System by Establishing Two Separate Ministries

    Your Excellency, Dr. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania. With utmost respect and courtesy, I extend my greetings to you. I wish to present my recommendations for the restructuring of our country's education system, specifically through the establishment of two...
  13. N

    David Kafulila atolea ufafanuzi wa Adani kuwekeza katika Miundombinu ya Umeme kwa Ubia

    Kuna taarifa nyingi sana huko duniani zinamhusu huyu Adan. Hao waliotoa taarifa zake ni waongo?? Guys , lets be serious. Ebu tuwekeeni maslahi ya nchi mbele kwanza na siyo hii mizuka inayotupanda. Serikali ni watu. Hivyo, ebu tuishauri serikali kwa hekima na siyo kukurupuka. Kafulila ni binadamu...
  14. N

    PreGE2025 Ni vema majimbo ya Kawe, Arusha mjini na Mbeya mjini yagawanywe kutokana na Wingi wa Wananchi na Huduma za kiuchumi!

    Yaani nimeendelea kucheck haya mawazo yako tokea asubuhi hadi usiku huu. Nimetafakari sana na sasa nahitimisha kuwa tatizo lako ni " lishe katika kipindi cha miaka mitano utotoni" . Hii ni sababu tosha inayoweza ku-describe uwezo wa kufikiri kwa watu wa aina hii. Long-Term Cognitive Deficits...
Back
Top Bottom