Habari wanafamilia wenzangu naomba msaada namna ya kuseti configuration ya wifi zinazopokea laini zote, nikiweka laini na kulog in inakubali ila inanipa ujumbe wa connected without internet lakini laini ina kifurushi, msaada wa kunivusha hapa.
Hiyo inawezekana kwa kufanya ya kwa kupata LNB yenye matundu mawili ya kufungia nyanya au unatafuta multpapas plag inayofungwa kwenye lnb moja hapo kazi inakuwa imeisha.
Habari, nilifanya kurejesha laini yangu ya cm iliyopotea Kwa kufuata hata zote lakini mpaka sasa siku ya tatu haijaanza musoma...msaada Tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kupunguza angalau nusu ya maji yaliyo kwenye betry halafu nunua angalau chupa 3 za maji Makali halafu yatiye..baada ya hapo ichaji itadum kwa muda kias Kama miez 4 zaid au pungufu..mm nilijarb ikafanya kazi.. Usiogope kujaribu ndo kuweza.
Kuna fursa nyingi kwa mkulima na mfugaji, mashamba mengi hayahitaji mbolea Bali mbegu bora unatusua kimaisha kwa haraka Sana.... Nimetembelea maeneo mengi kule mrijo, Matui, mwaiksabe, chembalo, songolo, itolwa, soya, kimeji n.k
Amaa kweli hii ni natanga njia, mm mwanzoni nilikuwa natumia zuku nikaitupilia mbali baada ya Azam kuja na local chanel za bure kama mwaka wakasitisha nikahamia startime nao walikuw wanatoa ofa ya mwaka sasa hv imeisha cjui hata nirudi wapi au niendelea mpaka nimalize makampuni yote?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.