mtoa mada huna unachokijua kaa kimya...hayo yote ni maneno tu hata kwenye kanga yapo na hakuna anaejua ukweli kuhusu hilo acheni kuandika mambo kwa kufurahisha umati.Uyo mama mnampaka tu maneno yenu na hatafika popote kama ukweli utajulikana msianze kumhukumu wakati hata Mungu hajaanza kumuhukumu
jaman kama ukwel unajulikana na upo basi hakuna haja ya kumsema mwanamke wa watu....cha msingi ni kujua ukwel ni upi na sio kupoteza mda kuongea maneno ya ovyo na ambayo hayana mantiki
Hiyo picha unayoovuta kichwani kwako ya kuwa "tibaijuka ni mama flani mwizi na fisadi asiye ata na tone la huruma" ni mawazo yako ya kimaskini kwa taarifa ni mama na mwanamke mwanamapinduzi anaependa kusaidia watu na pia ni msaada mkubwa kwa baadhi ya watu.kuna watu wanasoma na wengine wana...
Hiyo picha unayoovut kichwani kwako ya kuwa "tibaijuka ni mama flani mwizi na fisadi asiye ata na tone la huruma" ni mawazo yako ya kimaskini kwa taarifa ni mama na mwanamke mwanamapinduzi anatependa kusaidia watu na pia ni msaada mkubwa kwa baadhi ya watu.kuna watu wanasoma na wengine wana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.